assaph

assaph

Sunday, 21 September 2014

IBADA KATIKA PICHA TAR 21/09/2013

Binti aliyekuwa amefanyiwa dawa na kuwa kama zezeta akifanyiwa maombi katika ibada ya leo
Mama huyu akitoa ushuhuda ya matendo makuu ambayo Mungu amemtendea kipindi chote cha uja uzito hadi kujifungua

Binti huyu alikuwa ametupiwa pepo la mauti na alikuja akiwa amebebwa lakini baada ya maombi sasa anaweza kutembea

Pastor Ben akimwombea Haji Mohamed ambae alikuwa hawezi hata kusimama alikuwa amelazwa hospital ya Muhimbili lakini baada ya maombi aliweza kutembea.

Mwl Rachel akifundisha Kipindi cha Alfa

Mama Mchungaji Assaph akimhudumia mtu aliyekuwa na nguvu za giza

No comments:

Post a Comment