assaph

assaph

Monday, 9 December 2013

THANKS GIVING SERVICE HELD AT ASSAPH MINISTRY INTERNATIONAL BUGURUNI ROZANA

IN THE
PRESENCE OF HOLY SPIRIT










                                              PRAISE AND WORSHIP SECTION





            MR MARTIN'S FAMILY THANKS GOD FOR NEW CHILD BORN IN THERE HOUSE




Mama huyu ana mshukuru Mungu baada ya kutolewa unabii kuwa  ndugu yake kesi yake iasha ambayo imekuwa ya muda mrefu na kweli baada ya siku chache kesi iliisha na kutakiwa kulipwa gharama za miaka yake 2 aliyokuwa na kesi.

Mama huyu alimshukuru Mungu baada ya Mungu kumtendea Muujiza wa watoto wake kusomeshwa bure kabisa, ni mama mjane ambaye kulipa ada hizo ilikuwa shida kwake kulipa Mungu wetu ni Shadai.

Familia ya Mr Mgita nao walimshukuru Mungu kwa Mambo makubwa ambayo Bwana amefanya katika familia yao

Dada huyu alimshukuru Mungu baada ya Biashara zake kuanza kwenda vizuri baada ya kuanza kuwa zimedoda.

mama huyu anaishi Mafinga huwa akija Dar anakuja Kusali Assaph ministry

dada huyu alimshukuru Mungu baada ya kufanyiwa maombi na kupata kazi

Assaph akiwa ameshikilia magongo baada ya kumuombea mtu

Mama huyu alikuwa na matatizo ya miguu na mgongo lakini Bwana akamtendea muujiza

Mama huyu akimshukuru Mungu











No comments:

Post a Comment