Picha hizi hapa chini ni picha za ibada maalumu ya uoshaji wa miguu uliofanywa na watumishi wa Mungu wa Assaph ministries. ibada hiyo maalumu ilianza na kipindi cha alfa ambacho kinafundishwa na mama Assaph. na baadae kulukuwa na kipindi cha Kusifu, neno la Mungu na hatimae ulifika wakati wa kuoshwa miguu. Ibada hizo ambazo ni adimu kufanywa na watumishi wa Mungu wa silu za leo. na mwisho kulikuwa na ibada ya ushirika Mtakatifu.
![]() |
| Mama Assaph akifundisha kwenye somo la Alfa |
![]() |
| Mama Assaph aliwafanyia watu maombi |
![]() |
| Watu wakiwa wamedondoshwa na nguvu za Mungu |
![]() |
| Mama Assaph akimalizia kipindi cha Alfa |
![]() |
| Kipindi cha ushuhuda mama huyu alishuhudia Muujiza aliotendewa na Mungu baada ya kufanyiwa maombi baada ya kupitiliza muda wa kujifungua |
![]() |
| Lidya moja ya waimbaji wa sifa |
![]() |
| Assaph Benjamini akiwa madhabahuni |
![]() |
| Mama Assaph akiwa amezama |
![]() |
| uweponi mwa Bwana |
![]() |
| Assaph akifanyia watu maombi |
![]() |
| Assaph Benjamini akifanyia maombi maji kabla ya kuanza kunawisha washirika miguu |
![]() |
| Neno likisomwa |
![]() |
| Hatimae kazi ya kuosha miguu ikaanza |
![]() |
| Hata watoto nao walinawishwa miguu |
![]() |
| waimbaji wa sifa wakiimba wakati watu wakinawishwa miguu |
kwa maombi ushauri unaweza kuwasiliana na Mtumishi wa Mungu Assaph Benjamini kwa no 0782499991 au unaweza kutembea kanisani kwetu Buguruni rozana kwenye shule ya Mopaki ulizia Heros inn panda mpaka juu kabisa utakuta ukumbi


























































































































































No comments:
Post a Comment