assaph

assaph

Tuesday, 13 August 2013

IBADA YA JUMAPILI TAR 11/08/2013 ASSAPH MINISTRIES INTERNATIONAL

Mama assaph akihudumu katika kipindi cha Alfa






Mama huyu akishuhudia matendo makuu ya Mungu


Kipindi cha ushuhuda


Mama huyu anaishi Dodoma alikuwa na tatizo la Moyo lakini kapona kabisa baada ya kufanyiwa maombi






Mama huyu alishukuru Mungu kwa kuwafunika vitenge watumishi hawa


Akifanyiwa maombi mengine








wakati wa kumwabudu Mungu


Baada ya neno ulifika wakati wa maombezi ambapo watu wengi waliombewa na kufunguliwa








Binti huyu akishuhudia Jinsi alivyopata kazi baada ya vyeti vyake kuombewa na watumishi wa Mungu na Interview ikawa rahisi kwake na sasa ameshaajiriwa Glory to God









































No comments:

Post a Comment